Ninafanya na kufundisha namna rahisi ya kuandika andiko la mradi kuanzia zile za miradi midogo mpaka mpaka miradi mikubwa
Andiko la mradi
Gharama ni asilimia 3 ya bajeti
Viwango ni katika Shilingi ya Kitanzania | Kutoka | Kwenda | Ushauri | Asilimia ya Ada | Mfano wa Ada |
Miradi midogo midogo | 1,000,000 | 10,000,000 | 50,000 | 5.0% | Kwa mil 1
100,000.00 |
Miradi midogo | 10,000,000 | 50,000,000 | 150,000 | 3.0% | Kwa mil 10
450,000.0 |
Miradi wa kati | 50,000,000 | 500,000,000 | 500,000 | 2.0% | Kwa mil 50
1,500,000.0 |
Miradi mikubwa | 500,000,000 | 2,000,000,000 | 1,500,000 | 1.0% | Kwa mil 500
6,500,000.0 |
- Kikokotozi hiki ni kwa ajili ya mradi mmoja tu, kama mradi utahusika na mambo mengi kila jambo ni sawa na mradi mmoja
- Mfano mradi wa malaria kama itahusika pia na miradi ya uchumi basi itakuwa ni miradi miwili
- Mradi wa kusambaza maji ambao ni lazima uhusike na uelimishwaji, usafi wa mazingira, usafi wa ndani ni mradi mmoja
- Taarifa zote za mradi za kisekta na fedha zinatolewa na mteja
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
Tutembelee kwenye mitandao ya kijamii hapa chini:
English Form |
Fomu ya Kiswahili |