Biashara Ndogo ndogo

Sehemu ya II: Kubuni na Kuanzisha Biashara Ndogo ndogo

Baada ya kutiwa motisha kuwa Mfanyabiashara Huwezi kuwa Mfanyabiashara mpaka umemiliki biashara. Ili Kubuni na Kuanzisha Biashara Ndogondogo mtu anatakiwa ajue yafuatayo:

Aina Tatu (3) za Biashara

  1. Kutengeneza bidhaa (Manufacturing) – Kutengeneza bidhaa ni kutumia rasilimali watu na malighafi ili kutengeneza bidhaa ya kuuza kwa mlaji au mchuuzi. Bidhaa ni kama vyakula, vyombo, nk
  2. Kuuza bidhaa (Trading) – Kuchuuza bidhaa zilizotengenezwa hapo juu no. A(a)
  3. Kutoa huduma (Service) – Kutumia ujuzi wako au wa wengine katika kuwahudumia watu na shida zao kwa malipo. Mfano kufundisha, kutibu, kusafirisha, kutumbuiza nk

Mwisho (End):

Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi

If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.

Tutembelee kwenye mitandao ya kijamii hapa chini:

We offer but not limited to the following:
Business Office Documents Development, Company Registration, Business Plan Development, Curricula Development for colleges, Office Digitization Consultancy, Online Presence and Marketing Consultancy, Leadership and Management Consultancy, Constitution Development  and much more

English Form

Fomu ya Kiswahili


city, country
mji, nchi