1) Amua kuwa mjasiriamali na uache kuogopa
2) Weka dira ya unakotaka kufikia
3) Weka malengo ya muda mfupi na mrefu pamoja na mikakati na mbinu ya kufanikiwa
4) Ondoa woga weka ujasiri na kujiamini
5) Vumilia na ubaki kwenye maono na malengo – usitangetange ili usipoteze dira
6) Badilisha mbinu na mtindo wa kufanya kazi, kufikiri na kuamua ili ufikie malengo yako, Daima tumia njia rahisi yenye gharama nafuu na yenye kuharakisha utendaji wa kazi na matokeo. Anza na malengo madogo ndipo makubwa yaje, anza na malengo marahisi ndipo malengo magumu yaje. Kwa njia hii utapa motivation ya kufanya vizuri zaidi
7) Penda unachokifanya ili upate nguvu ya kuendelea
9) Kazi usizoweza kuzifanya kwa sababu ya muda au ujuzi wape wengine wafanye
10) Tadhmini kazi zako na uboresha kila kitu unachokifanya ili ufanye kisasa, kisayansi na kiteknolojia inavyowezekana
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
Tutembelee kwenye mitandao ya kijamii hapa chini:
English Form |
Fomu ya Kiswahili |