Gharama za usajili wa kampuni BRELA kwa ufupi ni
- Gharama za usajili wa kampuni ndogo ya chini hisa za Shs milioni ni Shs. 1,117,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 1 hadi milioni 5 ni Shs. 1,297,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 5 hadi milioni 20 ni Shs.1,432,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za Shs milioni 20 hadi milioni 50 ni Shs.1,512,200
- Gharama za usajili wa kampuni ya kati hisa za zaidi ya Shs milioni 50 ni Shs. 1,862,200
- Gharama za usajili wa kampuni isiyo na hisa ni Shs. 1,372,200
- Gharama za usajili wa jina la biashara ni Shs. 80,000
Usajili wa kampuni unategemea mambo kadha wa kadha kama ifuatavyo
Na | MELEZO YA ADA | KIASI KTK TSHS |
Gharama za BRELAKampuni ambayo hisa zake za nomino ni: |
||
– Kati ya Tshs. 20,000/= na Tshs. 1,000,000/= | 95,000 | |
– Kati ya Tshs. 1,000,000/= na Tshs. 5,000,000/= | 175,000 | |
– Kati ya Tshs. 5,000,000/= na Tshs. 20,000,000/= | 260,000 | |
– Kati ya Tshs. 20,000,000/= na Tshs. 50,000,000/= | 290,000 | |
– Zaidi ya Tshs. 50,000,000/= | 440,000 | |
Kampuni isiyo na hisa – company by guarantee | 300,000 | |
Kufaili taarifa muhimu na mhuri | 82,200 | |
Kuomba kuwekewa jina – name reservation | 50,000 | |
Kubadili jina la kampuni | 22,000 | |
Kupokea au kusajili kwa msajili taarifa ambayo kisheria lazima itumwe kwake | 22,000 | |
Faini ya kuchelewesha kufaili kwa mwezi kwa kila taarifa | 2,500 | |
Ada ya kufaili kwa mwaka – annual return fee | 22,000 | |
Kuthibitisha taarifa kwa kila ukurasa | 3,000 | |
Kutafuta faili lolote kwa kila faili | 3,000 | |
Kupewa ripoti iliyoandikwa ya utafutaji wowote kwa kila faili | 22,000 | |
Ada inayotakiwa kulipwa na kampuni ambapo sehemu ya XII sheria inahitaji kufanya hivyo | ||
Gharama zetuKutengeneza MemArt pdf |
100,000 |
|
Kuchapa kitabu cha ziada kwa kila kitabu | 20,000 | |
Kuthibitisha kwa mwanasheria kwa kila kitabu (vitabu vitatu) | 150,000 | |
Gharama ufuatiliaji na dharura | 400,000 | |
Gharama za Utaalamu | 300,000 – 700,000 |
Habari naomba msaada wa kusajili kampuni