Utangulizi
Ifuatayo hapa chini ni mwongozo wa Namna bora ya kuandika katiba ya mashirika yasiyo ya kiserikali au vikundi. Mambo muhimu katika kuandika katiba yameorodheshwa hapa chini.
Uandishi wa katiba halisi unaweza kubadilika kidogo kulingana na
- Aina ya Taasisi
- Malengo ya waanzilishi
- Aina ya Wanachama nk
Sehemu muhimu za katiba
Mwongozo huu ni kwa ajili ya kuunda katiba za NGO, CBO, Jumuiya au kikundi chochote kinachoendeshwa kwa njia ya wanachama
A: KASHA LA NJE
- JIna la katiba
- Nembo
- Maelezo/anuani ya Mwandishi
B: NDANI YA KATIBA
- Dibaji
- Shukrani
SURA YA 1. TAFSIRI YA MANENO
SURA YA 2. TAARIFA ZA SHIRIKA
- HADHI YA SHIRIKA
- JINA LA SHIRIKA
- MAKAO MAKUU
- MATAWI YA SHIRIKA
- LUGHA
- OFISI KUU RASMI
- NEMBO YA SHIRIKA
- MUHURI WA SHIRIKA
SURA YA 3. MALENGO YA SHIRIKA
- MAONO
- UTUME
- TUNU ZA SHIRIKA
- MALENGO NA MADHUMUNI
SURA YA 4. UANACHAMA
- SIFA ZA KUWA MWANACHAMA
- HAKI ZA KUWA MWANACHAMA
- WAJIBU WA WANACHAMA
- KUACHA UANACHAMA
SURA YA 5. MUUNDO WA SHIRIKA
- MCHORO WA MUUNDO
- MKUTANO MKUU WA SHIRIKA
- KAZI NA MAJUKUMU YA MKUTANO MKUU
- BODI YA WADHAMINI
- VIONGOZI NA WAJUMBE WA BODI WANAPATIKANAJE
- KAZI NA MAJUKUMU YA BODI YA WADHAMINI
- MIKUTANO YA BODI YA WADHAMINI
- MUDA NA UKOMO WA KUWA KIONGOZI AU MJUMBE
- MWENYEKITI WA BODI
- ANAPATIKANAJE
- KAZI NA WAJIBU WA MWENYEKITI
- MUDA WA KUWA MADARAKANI
- KUKOMA KUWA MADARAKANI
- KATIBU WA BODI
- ANAPATIKANAJE
- KAZI NA WAJIBU WA KATIBU
- MUDA WA KUWA MADARAKANI
- KUKOMA KUWA MADARAKANI
- MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA
- ANAPATIKANAJE
- KAZI NA MAJUKUMU YAKE
- MUDA WA KUWA MADARAKANI
- KUKOMA KUWA MADARAKANI
- MHASIBU MKUU WA SHIRIKA
- ANAPATIKANAJE
- KAZI NA MAJUKUMU YAKE
- MUDA WA KUWA MADARAKANI
- KUKOMA KUWA MADARAKANI
SURA YA 6. FEDHA NA MALI ZA SHIRIKA
- VYANZO MAPATO YA SHIRIKA
- AKAUNTI ZA BENKI
- KUTOA PESA BENKI
- UKAGUZI WA MAHESABU
- TATHMINI YA MIRADI YA SHIRIKA
SURA YA 7. KUTUNZA KUMBUKUMBU ZA SHIRIKA
- KUTUNZA KUMBUKUMBU
- KUTOA RIPOTI
- MIONGOZO NA SERA ZA SHIRIKA
SURA YA 8. UHUSIANO WA SHIRIKA NA MASHIRIKA MENGINE
SURA YA 9. TAFSIRI YA KATIBA
SURA YA 10. UTATUZI WA MIGOGORO
- UTANGULIZI
- MIGOGORO YA NDANI YA SHIRIKA
- MIGOGORO NJE YA SHIRIKA
SURA YA 11. KUBORESHA KATIBA
- KUREKEBISHA KATIBA
- MABADILIKO YA KATIBA
SURA YA 12. KUVUNJIKA KWA SHIRIKA
SURA YA 13. VIAMBATANISHO
- MAJINA YA WAANZILISHI
- WASIFU WA VIONGOZI WAKUU WA SHIRIKA
- ORODHA YA WADHAMINI, WALEZI, WAFADHILI WA SHIRIKA
- NAKALA YA TAARIFA ZOZOTE MUHIMU ZIWEKWE HAPA
Kiongozi nakupa hongera kwa moyo wa kutoa nje nje elimu, hii ni mfano bora kwako na wale wenye taaluma ya sheria waige mfano huo.
Allah Subhanahu wa Taala akikujalia zaidi, tengeneza namna mbalimbali za document za sheria ambazo utazipa jina na kuonesha kwa juu juu lakini mtu atakapotaka kupata nakala ambayo tendaji aweze kukuconsult moja kwa moja kulingana na biashara yake au shughuli zake unamtokelea kitu kilichokmili.
kwa sasa watu wengi wamekuwa wanafanya vitu kiujanja janja kutokana na gharama za huduma hizi kuwa juu sana. nimekuwa nikisoma katiba za NGO, FBO, CBO na Partnership baadhi yaani mpaka unajiuliza ni kweli walimwona mtaalamu au walikurupuka. utamaduni wa kuwatumia wataalamu hauko kabisa.
wazo langu weka documents na bei zake za kawaida kabisa ili uibadilishe jamii kutoka kufanya vitu kwa mazoea na kufanya vitu kitaalamu. pili utatufanya sisi wanajamii nikiwemo na mimi naye andika kuanza kubadilika na kununua kazi za kitaalamu kama tununuavyo bidhaa nyingine (goods, works, consultancy na services) kwa bei zinazoendana na jamii.
tusiige watu wa nje na mawazo yao ya kutuletea vitu vya gharama za juu mpaka tunasukumwa kufanya vitu kienyeji.
aidha nakupa hongera san.
nikirejea katika skeleton yako naona umeweka wigo wa kijiografia wa taasisi separate na hadhi ya taasisi (kwa maoni yangu naona ni kitu kimoja kwamba hadhi inabeba wigo wa area of operation. au ni vitu viwili tofauti. naomba kuwasilisha – Nuru Issa (0754 672100) RPA Iringa
Asante Issa kwa kutembelea website ya kivuyo.com na kutoa maoni. Maoni yako yatajumuishwa kwenye maboresha ya document hii na zinginezo zitakazohusika
Karibu sana
Nakupa hongera sana kivuyo kwa kazi nzuri ya kuelimisha na kufundisha.
Mimi ni Kijana (32) Magege Leonard Magege mkazi wa Mwanza mwenye malengo ya kuanzisha kampuni, taasisi ama ofisi iwe (registered) ambayo malengo yake ni kufanya shughuli binafsi za upigaji picha za Harusi, International Documentary, Uandishi wa habari kujitegemea na lakini pia mpango ni kwamba nahitaji ofisi ama kampuni yangu iwe inatoa huruma kwa jamii kuisaidia serikali katika kutoka elimu, kuisaidiaserikali kuipa ama kutoka taarifa nyeti kwa serikali (zinazofanyika kwa siri kwenye taasisi za kiserikali na zisizo za kiserikali .
Sasa je unanisaidiaje ili niandike kitu ama katiba ambayo si ya mradi lakini iwe inahusisha kampuni ama taasisi ambayo haina ukomo kama NGOs ama vikundi. Nahitaji Muongozo wako ili nije kupeleka serikalini ofisi flani hivi ili nione namna gani wanisaidie kuniwezesha.
Samaani.
Ni mimi Magege Leonard Magege
Simu: 0767505009
Hello Madege
Asante kwa kutembelea website ya kivuyo.com. Nafikiri hapo huhitaji katiba bali unahitaji kusajili kampuni isiyo ya faida yaana company limited by guarantee
Unaweza kusoma taratibu za usajili wa kampuni hapa
https://www.kivuyo.com/hatua-na-jinsi-ya-kusajili-kampuni-au-biashara-brela/
Nimeipenda sana hiyo hongera sana.