Miradi ya Kijamii

Mafunzo kwenye Miradi ya Kijamii kwa taasisi na wawezeshaji wote wanaosimamia miradi ya maendeleo ya jamii.
Hii inagusa maneneo ya:
1) Kubuni na Kuanzisha Mradi
2) Kuwezehsaji Viongozi wa Vikundi na CBO/NGO
3) Kusimamia Miradi
4) Kusimamia Fedha na Mali ya Miradi
5) Uwekaji wa Kumbukumbu za Mradi
6) Uandishi wa Ripoti na Nyaraka za Mradi
7) Kutathmini Mradi
8) Ukaguzi wa Mradi
9) Masuala ya Kisheria
10) Masuala Mtambuka