UTANGULIZI
Risala ni taarifa fupi inayosomwa kwa njia ya hotuba mbele ya mgeni rasmi kwa niaba ya kundi fulani la watu ili kutoa shukurani, maoni, mapendekezo, au msimamo juu ya jambo fulani kwa mgeni rasmi.
Risala ina sehemu kuu nne (4) ambazo ni:
- KICHWA CHA RISALA –
- UTANGULIZI: Hapa panahusu sana utambulisho, salamu, ukaribisho na lengo la risala.
- MADA: Sehemu ya mada ndiyo msingi wakuandika risala ambayo huonyesha historia fupi ya kikundi, mafanikio, changamoto, juhudi zilizofanywa kuyaondoa changamoto na changamoto zilzioshindikana ambazo mgeni rasmi au ofisi yake yaweza kusaidia kitu.
- HITIMISHO: Toa shukurani, maoni, mapendekezo, tamko na msimamo wa kikundi kwa mgeni rasmi
MFANO WA RISALA YA MAHAFALI YA CHUO
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
Tutembelee kwenye mitandao ya kijamii hapa chini:
English Form |
Fomu ya Kiswahili |