Kitabu cha stoo lengo lake ni kuweka kumbukumbu ya bidhaa za kuuzwa au malighafi ili zisipotee bure au kuibiwa. Na pia inawezesha kutumika vizuri au kuuzwa kwa utaratibu mzuri bila kujichanganya. Kila bidhaa irekodiwe peke yake katika kiabu cha stoo. Hii ina maana kuwa kama mjasiriamali ana bidhaa tano, basi anashauriwa kuwa na vitabu vitano vya stoo tofauti. Ikumbukwe kuwa bidhaa ni zile tu ambazo mjasiriamali amevinunua ili aviuze (kama vile sabuni ya kuuza dukani) au amezalisha ili aviuze (kama vile mahindi ya kuvuna, nyanya nk.) au ni malighafi (kama vile mbolea, mbegu, nk.)
Jina la stoo/biashara………………… Jina la mtunza stoo …………………………
Tarehe |
Maelezo ya bidhaa |
Idadi |
Baki |
|
iliyoingia | iliyotoka | |||
Mwisho (End):
Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi
If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.
Tutembelee kwenye mitandao ya kijamii hapa chini:
English Form |
Fomu ya Kiswahili |